Skip to main content

Haya ndio Makabila 125 ya TANZANIA

Haya ndio Makabila 125 ya TANZANIA

Hii ni orodha ya makabila ya watu ambao wamekuwa wanaishi tangu zamani katika eneo ambalo sasa linaitwa Tanzania, pamoja na makabila yaliyogawiwa na mipaka baina ya Tanzania na nchi za jirani.
  1. Waalagwa (pia wanaitwa Wasi)
  2. Waakiek
  3. Waarusha
  4. Waassa
  5. Wabarabaig (pia wanaitwa Wamang'ati)
  6. Wabembe
  7. Wabena
  8. Wabende
  9. Wabondei
  10. Wabungu (au Wawungu)
  11. Waburunge
  12. Wachagga
  13. Wadatoga
  14. Wadhaiso
  15. Wadigo
  16. Wadoe
  17. Wafipa
  18. Wagogo
  19. Wagorowa (pia wanaitwa Wafiome)
  20. Wagweno
  21. Waha
  22. Wahadzabe (pia wanaitwa Wahadza na Watindiga)
  23. Wahangaza
  24. Wahaya
  25. Wahehe
  26. Waikizu
  27. Waikoma
  28. Wairaqw (pia wanaitwa Wambulu)
  29. Waisanzu
  30. Wajiji
  31. Wajita
  32. Wakabwa
  33. Wakaguru
  34. Wakahe
  35. Wakami
  36. Wakara (pia wanaitwa Waregi)
  37. Wakerewe
  38. Wakimbu
  39. Wakinga
  40. Wakisankasa
  41. Wakisi
  42. Wakonongo
  43. Wakuria
  44. Wakutu
  45. Wakw'adza
  46. Wakwavi
  47. Wakwaya
  48. Wakwere (pia wanaitwa Wanghwele)
  49. Wakwifa
  50. Walambya
  51. Waluguru
  52. Waluo
  53. Wamaasai
  54. Wamachinga
  55. Wamagoma
  56. Wamakonde
  57. Wamakua (au Wamakhuwa)
  58. Wamakwe (pia wanaitwa Wamaraba)
  59. Wamalila
  60. Wamambwe
  61. Wamanda
  62. Wamatengo
  63. Wamatumbi
  64. Wamaviha
  65. Wambugwe
  66. Wambunga
  67. Wamosiro
  68. Wampoto
  69. Wamwanga
  70. Wamwera
  71. Wandali
  72. Wandamba
  73. Wandendeule
  74. Wandengereko
  75. Wandonde
  76. Wangasa
  77. Wangindo
  78. Wangoni
  79. Wangulu
  80. Wangurimi (au Wangoreme)
  81. Wanilamba (au Wanyiramba)
  82. Wanindi
  83. Wanyakyusa
  84. Wanyambo
  85. Wanyamwanga
  86. Wanyamwezi
  87. Wanyanyembe
  88. Wanyaturu (pia wanaitwa Warimi)
  89. Wanyiha
  90. Wapangwa
  91. Wapare (pia wanaitwa Wasu)
  92. Wapimbwe
  93. Wapogolo
  94. Warangi (au Walangi)
  95. Warufiji
  96. Warungi
  97. Warungu (au Walungu)
  98. Warungwa
  99. Warwa
  100. Wasafwa
  101. Wasagara
  102. Wasandawe
  103. Wasangu (Tanzania)
  104. Wasegeju
  105. Washambaa
  106. Washubi
  107. Wasizaki
  108. Wasuba
  109. Wasukuma
  110. Wasumbwa
  111. Waswahili
  112. Watemi (pia wanaitwa Wasonjo)
  113. Watongwe
  114. Watumbuka
  115. Wavidunda
  116. Wavinza
  117. Wawanda
  118. Wawanji
  119. Waware (inaaminika lugha yao imekufa)
  120. Wayao
  121. Wazanaki
  122. Wazaramo
  123. Wazigula
  124. Wazinza
  125. Wazyoba

Popular posts from this blog

Lema ahoji kushikiliwa mmiliki wa shule ya Lucky Vincent

Lema ahoji kushikiliwa mmiliki wa shule ya Lucky Vincent Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema   Dodoma. Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amehoji sababu za polisi kumshikilia mmiliki wa shule ya Lucky Vincent badala ya trafiki waliokuwa barabarani siku ya ajali iliyoua watu 35. Akiomba mwongozo wa Spika kuhusu jambo hilo leo, amesema katika eneo husika kuna vizuizi vya ukaguzi vinne lakini trafiki hawakuona kuwa basi hilo lilikuwa kimezidisha watoto na hawakuwa wamefunga mikanda. Amesema badala ya trafiki hao kuchukuliwa hatua, anakamatwa mmiliki ambaye hakuwapo. Akijibu mwongozo huo, Naibu Spika, Dk Tulia Ackson amesema suala hilo halijatokea bungeni.

Jinsi Wachawi Wanavyo Tumia Mafiga Mabichi Ya Mti Wa Mfausiku Kupika Uchawi Wa Kumvuta Kimapenzi Mtu Aliye Mbali.

Jinsi Wachawi Wanavyo Tumia Mafiga Mabichi Ya Mti Wa Mfausiku Kupika Uchawi Wa Kumvuta Kimapenzi Mtu Aliye Mbali. Na. DOKTA  MUNGWA  KABILI …0744 -000  473.  Wachawi  wanaweza  kutumia  uchawi  kumvuta  kimapenzi  mtu  aliye  mbali. Moja  kati  ya  vitu  vinavyo  tumika  katika  uchawi  huu  ni  pamoja  na  mafiga  mabichi  ya  mti  wa  mfausiku  ambayo  hukokwa  kwenye  majani  makavu ya  mgomba  ambayo  hutumika  kama  kuni  au  moto,  kipande  cha  sanda  alichovalishwa  maiti, herufi za  moto,  mti wa hina, pamoja na  vitu  vingine  lukuki. Kufahamu  kuhusu  uchawi wa aina  hii  na  jinsi  ya  kujikinga  nao, fuatilia  sehemu  ya  nne  ya  kitabu “ ...

Bei ya unga sasa ni mara 12 ya mfuko wa Simenti

Bei ya unga sasa ni mara 12 ya mfuko wa Simenti WAKATI bei ya unga wa sembe ikipanda mpaka kufikia kuuzwa kati ya Sh. 2,200 na Sh. 2,500 kwa kilo, ile ya mfuko wa saruji wenye uzito wa kilo 50 imeshuka hadi sh. 9,000, sawa na Sh. 180 kwa kilo. Katika masoko na maduka mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam ambayo Nipashe ilitembelea jana, bei ya sembe ilikuwa ikiuzwa kwa kiasi hicho kwa rejareja huku wauzaji wa jumla wakiuza kiroba cha kilo 50 kwa kati ya sh.100,000 na sh.98,000. Ibrahim Omary, mfanyabiashara wa Kariakoo alisema anauza unga wa sembe kwa Sh. 2,400 kwa kuwa hununua kwa bei kubwa kutoka kwa wazalishaji. Alisema kampuni inayojulikana kwa jina la Mkulima huwauzia unga huo kwa Sh. 98,000 na Mama Neema huwauzia kwa sh. 100,000 kwa kiroba cha kilo 50. Kwenye baadhi ya maduka ya kula ya Kinondoni, unga umekuwa ukiuzwa kati ya Sh. 2,200 na Sh. 2,500. Tandika bei ya wastani ni Sh. 2,200, Mwenge Sh. 2,400, Kimara sh. 2,500 na Yombo Vituka sh. 2,200. ...